IPO haja
kwa Serikali na Taasisi husika zinazosimamia masuala ya barabara, kuzifanyia
matengenezo barabara ambazo tayari zimeshaanza kumengwa na maji ya mvua, kama
inavoonekana katika picha, barabara ya Michakaeni- Machomanne- Chake, iliyoliwa
na maji hao.(Picha na Abdi Suleiman,
Pemba.)
Habari : Dkt. Mpango Ataja maeneo manne muhimu kwa Vyombo vya Habari Barani
Afrika
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor
Mpango, amevitaka vyombo vya habari barani Afrika kuzing...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment