MRATIBU wa ANGOZA Hassan Juma Khamis akiwasilisha ripoti ya tathmini ya upatikanaji wa huduma ya maji ya kunywa na matumizi majumbani, utafiti uliowasilishwa jana ukumbi wa mikutano wa Halmashauri wilaya ya Chakechake Pemba, ambapo ulihusisha wilaya ya Chakechake kwa Pemba na wilaya ya Magharibi kwa Unguja (picha na Haji Nassor, Pemba)
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment