Wananchi wa barabara ya daraja bovu wakiwa memevunja nyumba zao baada kukamilika kwa taratibu zote za kisheria ili kuendelea na ujenzi wa barabara hiyo awamu ya mwisho ya ujenzi wake ili kukamilisha mradi huo kumalizika kwa kipande kilichobaki katika ujenzi huo wa barabara mpya ya daraja bovu Zanzibar.
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment