Wananchi wa barabara ya daraja bovu wakiwa memevunja nyumba zao baada kukamilika kwa taratibu zote za kisheria ili kuendelea na ujenzi wa barabara hiyo awamu ya mwisho ya ujenzi wake ili kukamilisha mradi huo kumalizika kwa kipande kilichobaki katika ujenzi huo wa barabara mpya ya daraja bovu Zanzibar.
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment