Matumizi ya Mayai katika Mji wa Zanzibar limekuwa likikuwa kila siku na mahitaji ya bidhaa hiyo kuzidi kuongezeka na kuingiza bidhaa hiyo kutoka nchi jirani.Trea moja huuzwa kwa shilingi 8000/= katika marikiti kuu ya Zanzibar.
DK.NCHIMBI AENDELEA KUINADI ILANI UCHAGUZI MKUU, KUOMBA KURA ZA KISHINDO
KWA CCM
-
Na Mwandishi Wetu,Katavi
MGOMBEA Mwenza wa Urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk.
Emmanuel Nchimbi, ameendelea kunadi Ilani ya Chama hicho ...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment