Mdhamini wa Hafla ya Utoaji zawadi
Mwalimu Yussuf Shoka Hamad (Katikakati) akifuatilia kwa makini hafla ya utoaji
zawadi
Wanafunzi waliofaulu mchepuo mwaka 2013 Shule ya
Mtemani wakifuatilia jambo
Kamati ya skuli ya Mtemani wakiwa katika
picha ya pamoja na wanafunzi waliofaulu darasa la saba 2013-14
Walimu wa Shule ya msingi Mtemani
wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliofaulu darasa la saba 2013-14
Mwanafunzi Zakia Ali Hassan
akipokea zawadi kutoka kwa Mgeni Rasmi Bwana Mohammed Nassor Salim
Mwanafunzi Abubakar Mohammed Bakar
akipokea zawadi
Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi
Mtemani Bi Wahida Saleh Hamad akipongezwa na mdhamini wa hafla Bwana Yussuf
Shoka.
No comments:
Post a Comment