Naibu Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel katikati
akimkabidhi Cheti Bi.Ndidi, wakati wa kuhitimisha Programu ya kujitolea kwa Vijana
Wahitimu wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuila ni Mkurugenzi
Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.
Elisante Ole Gabriel mwenye suti nyeusi akiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu wa Program ya kujitolea kwa Vijana wahitimu wa vyuo vikuu katika uwanja wa taifa jijini Dar-es-Salaam, kulia Mkurugenzi Mkaazi wa VSO International Tanzania Ndg. Jean Van Wetter.(Picha na Benjamin Sawe)
No comments:
Post a Comment