Habari za Punde

Nyumba Mbili Zinauzwa Ziko Tunguu Viwanja vya Plan.

Tangazo la Kuuza Nyumba katika eneo la Tunguu zikiwa katika eneo la Viwanja vya Plan zikiwa katika hali nzuri kama zinavyoonekana pichani kila moja inauzwa shilingi milioni 60,

 Kila moja ikiwa na vyumba 4, 
Master bad room 2.na viliwi vya kawaida, Ikiwa na living room, jiko na eneo kubwa la kuegeshea magari ndani ikiwa na fensi ya ukuta.

Nyumba hizo ziko jirani na viwanja tafauti.

Kwa mawasiliano wasiliana kwa 
simu No 0777 275 551.Mr. Khalid.
Madalali Hawatakiwi.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.