AFISA Mdhamini afisi ya Makamu wa pili wa rais Pemba Issa Juma Ali, akimkaribisha mkuu wa mkoa wa kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla, ili afungue mafunzo ya kuwajengea uwezo wawezeshaji kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini, mafunzo yaliofanyika Chuo cha Amali Vitongoji Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:
Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na wawezeshaji wa mpango wa kunusuru kaya
masikini, mafunzo yaliofanyika Chuo cha Amali Vitongoji Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment