Mandhari ya mtaa wa muembetanga ukiwa kila siku ukibadilika kwa ujenzi wa majumba ya kisasa ya gorofa kama inavyooneka pichani katika eneo hilo.
Puma Energy Tanzania Yadhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya Anga
Afrika 2025 uliofanyika Zanzibar
-
Puma Energy Tanzania imedhihirisha kujizatiti kwake katika kukuza sekta ya
usafiri wa anga nchini kwa kudhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya
A...
2 hours ago
Zanzibar bado bado kabisa hatuna town planning. Pamoja na ghorofa zote hizo hakuna parking areas, hakuna eneo la wazi (mabustani) hakuna sewerage system inayofahamika almurad tafrani, kujenga majumba mazuri na makubwa ndio tunajitahidi lakini shida yetu kubwa planning, ni zero kabisa
ReplyDelete