Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wanafunzi na walimu wa shule ya msingi na awali ya Bahabena iliyopo Kibaha mkoani Pwani katika viwanja vya bunge jijini Dodoma, Juni 10, 2025 .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule ya msingi na awali ya Bahabena iliyopo Kibaha mkoani Pwani, katika viwanja vya bunge jijini Dodoma, Juni 10, 2025
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment