Habari za Punde

Waumini wa Mwembetanga kwa Karagosi waadhimisha Maulidi ya Mfunga Sita

Vijana na wazee wa kiIslamu wa M/Tanga wamefanikisha kuadhimisha Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yaliosomwa Siku ya Jumanne Jan 13 ,2015 sawa na Rabii Awal 1436
Maulidi hayo walioaza rami mida ya Saa tatu usiku maraa tu baada kusaliwa sala ya Ishaa, katika Mtaa wa Mwembetanga maarufu (Kwa Karagosi) Zanzibar ambapo Wazee na vijana hao huuandaa maulidi kila mwaka, ifikapo mwezi wa kuzaliwa Mtume Muhammed S.A.W 
Mapambo ya jukwaa: Maandalizi ya jukwaa maalumu kwaajili ya KUMSIFU na kumsalia MTUME Muhammed S.A.W katika Maulidi ya Mfungo Sita yaliofanyika rasmi mtaa wa M/Tanga Siku ya Jumanne Jan 13, 2015 sawa  Rabii Awal 1436 (Picha na  Mussa Yussuf)
 
Muongozaji Maulidi ya Mwembetanga kwa karagosi MC Imam Sadat Fadhil Abdullah akiongea Mipangilio ya maulid kwa ratiba maalumu iliopangwa na wana kamati Ya maandalizi ya Maulidi hayo.
Wazee wa mtaa wa M/Tanga Hajji AbdulAziz akiea na Sheik Ahmed wakiwa makini kusikiliza maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yalioandaliwa na  vijana pamoja na wazee wawa M/Tanga Siku ya Jumatatu Jan 13, 2014 Zanzibar. Maalim: Dr. Muhidin Siasa (kulia) na mwazake wakisikiliza Mtume Muhammad Salallahu alayhi yaliofanyika rasmi mtaa wa M/Tanga Siku ya Jumanne Jan 13, 2015 sawa Rabii Awal 1436
Maulidi ya kizidi kuendelea na ustadhi Kombo Muhammed akisoma mlango wa pili wa Mualidi Ya Mtume Muhammed s.a.w Yalioandaliwa Rasmi na Wazee pamoja na vijana wa M/Tanga, Zanzibar
Waumini wa kiIslamu kutoka maeneo mbali mbali wakiwa katika  maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yalioandaliwa na  vijana pamoja na wazee wawa M/Tanga Siku ya Jumatatu Jan 13, 2014 Zanzibar
Waandaaji wa maulid hayo Imam Sadat akipata picha ya pamoja na Hudheif A Shatry katika maulidi Ya mfungo sitta yaliofanyika Siku ya Jumatatu Jan 13, 2014 Zanzibar katika Mtaa wa M/Tanga Zanzibar
Waumini wa kiIslamu kutoka maeneo mbali mbali wakiwa katika  maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yalioandaliwa na  vijana pamoja na wazee wawa M/Tanga Siku ya Jumatatu Jan 13, 2014 Zanzibar
Waalikwa wageni mbalimbali wakisikiliza Maulidi ya mfungu sita Mwembetanga Maulidi yaaza rasmi kwa kasida ilivyokuwa ikisomwa na wanafunzi wa Madrasa Ya Sharif Aboud Vikokotoni kutoka.
Maalim: Dr. Muhidin Siasa akiongea neno kuhusu  Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi  yaliofanyika rasmi mtaa wa M/Tanga Siku ya Jumanne Jan 13, 2015 sawa  Rabii Awal 1436
Maalim Abuu akihitimisha Dua ya Maulidi ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yalioandaliwa na  vijana pamoja na wazee wawa M/Tanga Siku ya Jumatatu Jan 13, 2014 Zanzibar

Mmoja kati ya wanakamati ya maandalizi ya Maulidi Mussa Yussuf Mussa akiwa katika usimamizi wa kuweka mambo sawa katika kusimamia maulidi.

Maalim Afrif Abdallah Shatry akiwa katika usimamizi wa maulidi 
Mwanakamati ya maandalizi ya Maulidi  Masoud Masoud   akiwa katika usimamizi wa kuweka mambo sawa katika kusimamia Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yaliosomwa Siku ya Jumanne Jan 13 ,2015 sawa na mwezi 11 Rabii Awal 1436
Kijana Muhammed Hassan akipata picha ya pikee katika maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yalioandaliwa na  vijana pamoja na wazee wawa M/Tanga Siku ya Jumatatu Jan 13, 2014 Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.