Golikipi wa timu ya Chuoni akiokoa moja ya hatari golini kwake wakati wa mchezo wao wa ligi kuu uliofanyika uwanja wa amaan.
Mchezaji wa timu ya Chuoni na wa Polisi wakiwania mpira.
Mshambuliaji wa timu ya Polisi akiambaa na mpira huku beki wa timu ya Chuoni akijiandaa kumzuiya.
No comments:
Post a Comment