Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Mhe Ali Salum akimkabidhi Kikombe Mwenyekiti wa Kamati ya Ligi za Watoto Zanzibar Ndg Madungu kwa ajili ya Washindi wa michezo hiyo inayomalizika kesho na kukabidhgiwa zawadi mabingwa wa Ligi za Watoto Zanzibar Mhe Ali Salum alikabidhi Vikombe viwili na Fedha taslim shilingi milioni 1,200,000/ kwa washindi.
WAZIRI MKUU MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO
VYA HABARI DUNIANI
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Msemaji wa Serikali Mobhare
Matinyi (kulia) alipotembelea mabanda ya maonesho akiwa mgeni rasmi kilele
cha Ma...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment