Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Mhe Ali Salum akimkabidhi Kikombe Mwenyekiti wa Kamati ya Ligi za Watoto Zanzibar Ndg Madungu kwa ajili ya Washindi wa michezo hiyo inayomalizika kesho na kukabidhgiwa zawadi mabingwa wa Ligi za Watoto Zanzibar Mhe Ali Salum alikabidhi Vikombe viwili na Fedha taslim shilingi milioni 1,200,000/ kwa washindi.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment