Habari za Punde

Elimu ya Katiba Inayopendekezwa Wete Pemba

 SHEHA wa shehia ya Kipangani Ali Said Hamad akifungua mkutano wa kuelimisha katiba inayopendekezwa, ulioandaliwa na Kituo cha Hudma za Sheria Zanzibar ZLSC, tawi la Pemba, kulia ni Hakimu wa Mahakama ya Ardhi mkoa kusini Pemba Salim Hassan Bakar na kushoto ni Mratibu wa ZLSC Fatma Khamis Hemed, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWANASHERIA wa serikali Albaghir Yakout Juma, akitoa ufafanuzi wa Katiba inayopendekezwa mbele ya wananchi wa wilaya ya wete Pemba, mkutano ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, ambao uliofanyika Jamhuri Hall wete Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MMOJA wa wananchi wa wilaya ya Wete akitaka ufafanuzi wa Ibara ya 97 juu ya ‘Bunge kumshitaki rais’ kwenye katiba inyopendekezwa, wakati Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC walipofika kutoa elimu ya katiba hiyo kwa wananchi gazi ya wilaya, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.