Vijana wa Mwera wakihamashisha wakati wa mapokeazi ya mwenge wakati ukuwasili katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja.
Gari maalum iliobeba mwenge ikiwasili katika Kijiji cha Mwara kwa ajili ya uzinduzi wa mradi wa Wananchi wa Ujenzi wa Daraja la kijiji cha mwera. kutowa huduma kwa wananchi wa kijiji hicho.
UA YAANZISHA MITAALA YA UALIMU WA AMALI KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA KWA
VIJANA
-
Na Farida Mangube, Morogoro
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanzisha mitaala mipya ya Ualimu
wa Amali kwa ajili ya walimu wa shule za sekonda...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment