Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Kazi na Utumishi wa Umma Ndg Abdalla Yakuot, akikabidhiwa Vyeti vya Ubora wa
Utengenezaji wa Vitambulisho vya Mzanzibar kutoka kwa Mkaguzi wa Viwango vya
Kimataifa ISO Mr. Amir Kahana
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Kazi na Utumishi wa Umma Ndg Abdalla Yakuot, akikabidhiwa Vyeti vya Ubora wa
Utengenezaji wa Vitambulisho vya Mzanzibar kutoka kwa Mkaguzi wa Viwango vya
Kimataifa ISO Mr. Amir Kahana kulia
Mshauri Elekezi wa Usalama wa Viwango vya Kimataifa ISO Madam Merav
Vered na kushoto Kaimu Mkurugenzi wa ZAN ID Ndg Abubakary Chilumba.
Kaimu
Mkurugenzi wa ZAN ID Ndg Abubakary Chilumba akizungumza wakati wa hafla hiyo
jinsi ya mafanikio ya uzalishaji wa Vitambulisho unaofanywa na Ofisi yao na kupata
Vyeti vya Ubora wa huduma hiyo na uimara
wake katika hali ya kiusalama na kupata Vyeti vya Ubora vinne. Viwili vya Ubora
Vyeti Viwili vya ubora
IQ NET AND THE STANDARD INSTITUTION OF ISRAEL
FOR QUALITY MANAGEMENT SYSTEM ISO. 9001
THE STANDARD INSTITUTION OF ISRAEL
FOR QUALITY MANAGEMENT STANDARD ;IS 9001
Vyeti Viwili vya Usalama
IQNET AND THE STANDARD INSTITUTION
OF ISRAEL FOR INFORMATION SECURITY MANAGEMENT SYSTEM ISO 20071.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Utumishi wa Umma
Zanzibar, Ndg ,Abdalla Yakuot, akihutubia wakati wa hafla ya kukabidhiwa kwa
Vyeti vya Ubora na Usalama wa Utengenezaji wa Vitambulisho vya Mzanzibar kuokwa kwa Mkaguzi wa Viwango vya Kimataifa
ISO . Mr. Amir Kahana, makabidhiano hayo yamefanyika katika ukumbi wa hoteli ya
Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Wataalamu
kutoka Israel, wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Ndg Abdalla Yakuot akizungumza
katika hafla hiyo kulia Mkaguzi wa Viwango vya Kimataifa ISO, Mr
Amir Kahana na Mshauri Elekezi wa Usalama wa Viwango vya Kimataifa ISO,
Madam Merav Vered, wakiwa hafla hiyo.
Maofisa wa ZAN ID
wakifurahia jambo wakati wa makabidhiano hayo katika ukumbi wa hoteli ya
Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Wataalam kutoka Israel na maofisa wa Vitambulisho
wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Vitambulisho ZAN ID Ndg Abubakary Chilumbo,
akizungumza katika hafla hiyo.
Mkaguzi wa Viwango vya Kimataifa
ISO kutoka Israel Mr. Amir Kahana, akizungumza na kutowa maelezo ya ukaguzi wao
na kuridhika kuona Ubora wa Utengenezaji wa Vitambulisho vya ZAN ID vikiwa
katika kiwango cha Kimataifa na Usalama wa ubora wake.
Maofisa wa ZAN ID na E-Government , wakiwa katika ukumbi wa
hafla ya kukabidhiwa vya Vyeti vya Ubora
wa Utengenezaji wa Vitambulisho, iliofanyika katika hoteli ya Zanzibar Ocean
View Kilimani Zanzibar.
Wafanyakazi wa ZAN ID wakiwa
katika ukumbi wa hafla ya kukabidhiwa Vyeti vya Ubora wa Utengenezaji wa
Vitambulisho vya Mzanzibar.
Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Utumishi wa Umma Ndg. Abdallah Yakuot , akiwa
katika picha ya pamoja na Wataalum wa Viwango vya Kimataifa kutoka Israel na
Maofisa wa Vitambulisho na E-Government, baada ya hafla ya kukabidhiwa Vyeti
vya Ubora , hafla hiyo imefanyika katika hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani
Zanzibar.
No comments:
Post a Comment