Habari za Punde

Barabara Chakechake zianze kufikiriwa kutokana na ongezeko kubwa la magari

IPO haja kwa mamlaka husika za ujenzi wa barabara, kuanza mapema kufikiria suala zima la utanuzi wa barabara za mjini ya Pemba, kutokana na ongezeko kubwa la gari, hasa katika mji mkuu wa Pemba Chake Chake, ili kuwepo kwa maegesho yenye nafasi pembezoni mwa mji huu wa Chake Chake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

3 comments:

  1. Bado hakuna ongezeko la gari ukiangalia hio picha vizuri.

    ReplyDelete
  2. Kapiga picha maeneo ya kwerekwe, njia ya Fuoni utapata taswira nzuri ya kadhia ya magari. Na uombe Mungu ukutane na misafara ya wenye nchi.

    ReplyDelete
  3. Hakujakuwa na ongezeko kubwa la kutisha LA magari lakini pia si vibaya tukaanza kujiandaa name mapema il I tusije tukafanya makosa ambayo miji mingine tayari wameyafanya na sasa yanawa-cost sana. Mfano ni hiyo ya Fuoni- kwerekwe.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.