MMOJA wa wananchi wa wilaya ya Chake Chake
shehia ya Tibirinzi, akichangia mda juu ya taratibu za kuandikwa sheria, kwenye
mkutano ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba,
uliofanyika skuli ya Maandalizi Madungu mjini Chake Chake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
SHEHA wa shehia ya Madungu wilaya ya Chake
Chake Pemba, Mafunda Hamad Rubea, akifunga mkutano wa kuelimishwa wananchi wa
wilaya ya Chake Chake, taratibu za kuandika sheria na katiba, kulia ni Mratibu
wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed
ambao ndio waandaji wa mkutano huo, uliofanyika skuli ya Maandalizi Madundu,
kushoto ni wakili wa Serikali Ali Amour Makame, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment