IPO haja kwa mamlaka husika za ujenzi wa barabara,
kuanza mapema kufikiria suala zima la utanuzi wa barabara za mjini ya Pemba,
kutokana na ongezeko kubwa la gari, hasa katika mji mkuu wa Pemba Chake Chake,
ili kuwepo kwa maegesho yenye nafasi pembezoni mwa mji huu wa Chake Chake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAZIRI MKUU MGENI RASMI KONGAMANO LA WAANDISHI WA HABARI WA VYOMBO VYA
MITANDAO YA KIJAMII
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Jumuiya ya Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) kwa kushirikiana na
Shirikisho la Serikali za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu...
1 hour ago
Bado hakuna ongezeko la gari ukiangalia hio picha vizuri.
ReplyDeleteKapiga picha maeneo ya kwerekwe, njia ya Fuoni utapata taswira nzuri ya kadhia ya magari. Na uombe Mungu ukutane na misafara ya wenye nchi.
ReplyDeleteHakujakuwa na ongezeko kubwa la kutisha LA magari lakini pia si vibaya tukaanza kujiandaa name mapema il I tusije tukafanya makosa ambayo miji mingine tayari wameyafanya na sasa yanawa-cost sana. Mfano ni hiyo ya Fuoni- kwerekwe.
ReplyDelete