Habari za Punde

Mashindano ya lugha ya kiarabu ya Samael Academy

 MDHAMINI wa taasisi ya Samael Academey sheikh Said Abdalla Nassor, akiuliza suali kwa lugha ya kiarabu kwa mwanafunzi, kwenye mashindano ya lugha ya kiarabu, yalioandaliwa na taasisi hiyo, yaliofanyika msikiti wa uwanja wa Gombani wilaya ya Chake chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MKUU wa taalamu taasisi ya Samael Academy sheikh Burahan Khamis Juma, akisoma risala ya taassi hiyo kwa mkuu wa mkoa wa kaskazini Pemba Mhe: Omar Khamis Othman kwenye mashindano ya lugha ya kiarbu, yaliofanyika msikiti wa uwanja wa Gombani Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 RAIS wa taasisi ya Samael Academy sheikh Nassor Said Al-rayawahy akielezea mikakati ya taasisi hiyo, katika masuala ya kielimu, kupiga vita umaskini mbele ya mkuu wa mkoa wa kaskazini Pemb Mhe: Omar Khamis Othuman kwenye mashindano ya lugha ya kiarabu, yalioandaliwa na taasisi hiyo, na kufanyika msikiti wa uwanja wa Gombani Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MKUU wa mkoa wa kaskazini Pema Mhe: Omar Khamis Othman akizungumza, mara baada ya kushuhudia mashindano ya lugha ya kiarabu kwa wanafunzi wa madrass mbali mbali Kisiwani Pemba, yaliondaliwa na taasisi ya Samael Academy na kufanyika msikiti wa Gombani Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.