Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Haji Omar Kheir alienyoosha mikono akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mradi wa Uwekaji Kamera za kiusalama katika mji wa Zanzibar Ofisini kwake Vuga mjini Zanzibar.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa ITV Farouk Karim wa kwanza kushoto akiuliza maswali katika mkutano wa Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Haji Omar Kheir na Waandishi wa Habari akielezea mradi wa Uwekaji Kamera za kiusalama katika mji wa Zanzibar Ofisini kwake Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Haji Omar Kheir akifafanua jambo katika Mkutano na Waandishi wa Habari akizungumzia mradi wa Uwekaji Kamera za kiusalama katika mji wa Zanzibar Ofisini kwake Vuga mjini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment