Habari za Punde

Changamoto zinazowakabili Askari Trafiki Pemba, Utii wa Sheria

 KUONGEZEKA kwa magari katika Kisiwa Cha Pemba, imekuwa ni mzigo mkubwa kwa steni ya dalala ya Chake Chake, pichani askari wa Usalama wa barabarani mkoa kusini Pemba, akiziongoza gari kuingia na kutoka katika steni hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, 
SUALA la Utii wa Sheria bila ya shuruti linahitaji kuzingatiwa kwa umakini Mkubwa, pichani abiria wakiwa wananinginia katika daladala ya abiria yenye ruti kati ya Chake Chake na Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

KUMEKUWA na tabia kwa baadhi ya madereva wa gari aina ya vikeri, kupakiwa kinyume na taratibu katika maeneo mbali mbali ya mji wa Chake Chake, pichani askari wa usalama wa barabarani mkoa wa kusini Pemba, akibishana na dereva wa kikeri hicho baada ya kukataa kukiondosha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.