LICHA ya Serikali kutafuta wafadhili kwa ajili ya
miradi mbali mbali ya maji kwa wananchi, lakini bado mamlaka husika
zinazosimamia masuala ya maji, zinashindwa kuwa makini kutembelea viungio vya
maji laini kubwa, pichani maji yakimwagika katika kiungo cha maji, laini kubwa
huko mjengo wa Banda Wawi chake Chake.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
UDOM YAKUTANA NA WADAU KUCHAMBUA NAFASI YA AKILI UNDE KATIKA UTAWALA BORA
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma*
*Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na
wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodom...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment