LICHA ya Serikali kutafuta wafadhili kwa ajili ya
miradi mbali mbali ya maji kwa wananchi, lakini bado mamlaka husika
zinazosimamia masuala ya maji, zinashindwa kuwa makini kutembelea viungio vya
maji laini kubwa, pichani maji yakimwagika katika kiungo cha maji, laini kubwa
huko mjengo wa Banda Wawi chake Chake.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAAFISA MAENDELEO IBUENI FURSA KWA JAMII-FELISTER
-
Na Witness Masalu- Iringa
NAIBU Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Felister Mdemu ametoa amewahimiza
maafisa Maendeleo ya Jamii nchini kuubua fursa za ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment