BADO kitandawili cha kumalizia ujenzi wa uwanja
wa Gombani kuweka njia ya kukimbilia ‘tartan’ hakijapatiwa jibu ambapo hadi
sasa uwanja huo umebakia na kokoto pembezoni mwake, jambo ambalo linaweza
kusababisha athari kwa wachezaji pindi wakianguka, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Serikali yaipongeza Benki ya CRDB kufungua ofisi Dubai
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ally Ussi (wa tatu
kushoto) akizindua tawi la Nyakatuntu wilayani Kyerwa. Pamoja naye ni Mkuu
wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment