BADO kitandawili cha kumalizia ujenzi wa uwanja
wa Gombani kuweka njia ya kukimbilia ‘tartan’ hakijapatiwa jibu ambapo hadi
sasa uwanja huo umebakia na kokoto pembezoni mwake, jambo ambalo linaweza
kusababisha athari kwa wachezaji pindi wakianguka, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MTATURU ACHUKUA FOMU JIMBO LA IKUNGI MASHARIKI.
-
*Mbunge wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amechukua fomu ya kuomba ridhaa
ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia jimbo...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment