Mshambuliaji wa KMKM ya Zanzibar, Mateo Simon, akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Gor Mahia ilishinda 3-1. (Picha na Francis Dande).
Beki wa Gor Mahia, Karim Nizigiyimana akimtoka Juma Mbwana Faki.
Mshambuliaji wa KMKM ya Zanzibar, Juma Mbwana Faki akimtoka kipa wa Gor Mahia ya Kenya, Boniface Oluoch.
Mchezaji wa KMKM, Pandu Haji Pandu akimtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya, Mussa Mohamed.
Pandu Haji Pandu akimtoka Erick Ochieng
Mshambuliaji wa KMKM, Mateso saimo akimtoka Michael Olunga.
Mshambuliaji wa KMKM, Mateso saimo akimtoka Michael Olunga.
Wachezaji wa Gor Mahia ya Kenya wakiomba dua pamoja na wachezaji wa KMKM ya Zanzibar baada ya kumalizika kwa mchezo.
RAIS WA ZANZIBAR DK HUSSEIN ALI MWINYI AZINDUA SERA YA NISHATI YA ZANZIBAR
GOLDEN TULIP MJINI UNGUJA.
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali
Mwinyi akipokea Vitabu vya Sera ya Nishati ya Zanzibar kutoka kwa Waziri
wa Maji N...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment