WANACHAMA wa Jumuiya ya Vijana ya Machomanne Chake
Chake Pemba, wakiwa katika harakati zao za kupanda miti katika bustani mbali mbali za barabara ya Machomanne Chake Chake, mara baada ya kupatiwa vifaa mbali mbali na
mke wa Mkamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
RWEBANGIRA AFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UCHAGUZI NGAZI YA MKOA NA JIMBO
WA MIKOA YA RUKWA NA KATAVI
-
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena Rwebangira leo
Tarehe 21 Julai, 2025 amefungua mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya
Mkoa na J...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment