Habari za Punde

Katibu Mkuu OMKR akagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha tiba na marekebisho ya tabia

 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Dr Omar Dadi Shajak akipata maelezo ya ujenzi wa Kituo cha Tiba na Marekebisho ya tabia kwa wanaoachana na matumizi ya dawa za kulevya kilichopo Kidimni  Wilaya ya Kati Unguja 
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Dr Omar Dadi Shajak aliyevaa kaunda suti akiwa na baadhi ya watendaji wa ofisi hiyo akikagua ujenzi wa Kituo cha Tiba na Marekebisho ya tabia kwa wanaoachana na matumizi ya dawa za kulevya kilichopo Kidimni Wilaya ya Kati Unguja 

Jengo la  Kituo cha Tiba na Marekebisho ya tabia kwa wanaoachana na matumizi ya dawa za kulevya kilichopo Kidimni Wilaya ya Kati Unguja likiendelea kujengwa


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.