Habari za Punde

Mkutano wa CUF Jimbo la Mahonda

 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na vijana katika barza mbali mbali za CUF Mkoa wa Kaskazini Unguja kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Mwanakombo, jimbo la Mahonda.
 Baadhi ya wafuasi wa CUF waliojitokeza katika mkutano uliofanyika viwanja vya Mwanakombo, wakimsikiliza Maalim Seif (hayupo pichani). Picha na OMKR.
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mwanakombo Jimbo La Mahonda jana



 Baadhi ya wafuasi wa CUF waliojitokeza katika mkutano uliofanyika viwanja vya Mwanakombo, wakimsikiliza Maalim Seif (hayupo pichani). Picha na OMKR.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.