Wadau wa Uchaguzi kutoka vyombo vya ulinzi na vyama vya Siasa wakiwa katika kikao cha pamoja na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kwa ajili ya kupanga ratiba ya Kampeni, kikao hicho kilifanyika tarehe 04-09-2015 ukumbi wa afisi ya Tume ya Uchaguzi Maisara Zanzibar.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment