Wadau wa Uchaguzi kutoka vyombo vya ulinzi na vyama vya Siasa wakiwa katika kikao cha pamoja na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kwa ajili ya kupanga ratiba ya Kampeni, kikao hicho kilifanyika tarehe 04-09-2015 ukumbi wa afisi ya Tume ya Uchaguzi Maisara Zanzibar.
WEMBE, ASKARI MGAMBO MIKONONI MWA POLISI, SAKATA LA DKT. KAWAMBWA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
JESHI la Polisi Mkoani Pwani, limewakamata Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu
Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment