Mratibu wa Mabadiliko Katika Sheria Msemo Mavare akizungumza wakati wa kuaza kwa ufunguzi wa Mafunzo hayo ya Siku Mbili ya Mabadiliko Katika Sekta ya Sheria Nchini yalioandaliwa na Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar.
Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Sheria Zanzibar
Mhe.Jaji Mshibe Bakari akifungua Mafunzo kwa Wakuu wa Idara za Sekretarieti ya
Mabadiliko katika Sheria Juu ya Kusimamia Mabadiliko ya (Reforms) ya siku mbili
yaliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar
na kuwashirikisha Wadau wa Sheria na Wakuu wa Idara za Serikali Zanzibar
kushoto ni Dr Natujwa Mvungi kutoka Law
School of Tanzania na Dr Julius Cosmas kutoka Kitivyo cha Sheria Mzumbe waliotoka Mada kuhusu Mabadiliko Katika Sekta
ya Sheria Nchini.
Mkurugenzi Mipango,
Sera na Utafiti wa Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar Daima Mohammed
Mkalimoto, akitowa maelezo wakati wa mafunzo hayo kwa washiriki kabla ya kuaza kwa mafunzo hao
yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Mtoa Mada kutoka Chuo cha Mzumbe Kitivo cha Sheria Dr
Julius Cosmas, akiwasilisha Mada inayozungumzia Mabadiliko Katika Sekta ya
Sheria Ncnini wakatio wa mafunzo hayo ya Siku mbili yalioandaliwa na Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar kwa Wadau
wa Idara Serikali na Sheria Zanzibar, yaliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya
Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Washiriki wa Mafunzo ya Siku mbili Kwa Wakuu wa Idara na Sekretariet ya Mabadiliko katika Sheria
wakifuatilia mafunzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya
Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar
No comments:
Post a Comment