Habari za Punde

Hali ya mazingira kipindi cha mvua za vuli kisiwani Pemba

 LICHA ya Serikali kujenga barabara mbali mbali za ndani kwa kiwango cha fusi kisiwani Pemba, huku wakandarasi wakishindwa kuweka maeneo ya kupitishia maji kipindi cha mvua, Pichani gari ikipita kwa tabu katika eneo la mbunu Wilaya ya Chake Chake, baada ya wananchi kupiga msingi katikati ya barabara hiyo ili kuruhusu maji kupita baada ya kuleta athari katika makazi yao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)

LICHA ya Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali ya kisiwa cha Pemba, lakini bado taasisi zinazohusika na masuala ya usafi wa mji zinapaswa kuhakikisha miji inakuwa safi ili kuepusha maradhi ya matumbo, pichani takataka zikiwa zimerudikana katika dampo lililopo Machomanne kwa n’gande.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.