BAADA ya hali ya kisiasa kutulia kisiwani Pemba,
wavuvi wameanza kwenda baharini nao wachuuzi wa samaki wamekuwa wakifika
katika masoko mbali mbali kwa ajili ya kununua samaki, huku mvua kubwa
ikiendelea kunyesha, Pichani wachuuzi wakiwa katika mnada wa samaki katika
bandari ya Msuka Wilaya ya Micheweni.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Waziri Gwajima kuzindua kampeni ya 'Badilika, Tokomeza Ukatili' mkoani
Kigoma
-
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum- Dkt.
Doroth Gwajima anatarajiwa kuzindua kampeni ya ‘Badilika, Tokomeza Ukatili’
yenye l...
1 minute ago
No comments:
Post a Comment