LICHA ya Serikali kupiga marufuku utumiaji wa
misumeno ya moto (Chensoo)na kuweka mikakati madhubuti juu ya kuiteketeza
misumeno hiyo, lakini bado baadhi ya wananchi wamekuwa wakiitumia vibaya kwa
kuteketeza miti kiholela, pichani wananchi wakipasua mbao za mnazi baada ya
kuukata mti hio huko Gando Wilaya ya Wete.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
RAIS DKT>SAMIA AKUTANA NA RAIS WA TAASISI YA KOREA INFRASTRUCTURE FINANCE
CORPORATION (K-FINCO)
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Taasisi ya *Korea Infrastructure Finance
Corporat...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment