Meli ya Kitalii ya Nautica ikiwa katika Bandari ya Malindi Zanzibar ikiwa na Watalii 400 kutoka Nchi Mbalimbali Wakitalii katika Visiwa vya Zanzibar na Kujionea sehemu za Historia ya Zanzibar. Wakiwa Zanzibar kwa Siku moja.
WASIRA:KAMA HUJUI NCHI ILIKOTOKA USIBEZE MAENDELEO YALIYOFANYIKA
-
*Asema wanaosema hakuna kilichofanyika hawana tofauti na Kasuku
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Michuzi Blog
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) B...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment