Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akifuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia ZBC ya uwasilishaji wa Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2025/2026, inayowasilishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Fedha na Mipango, Mhe. Saada Mkuya Salum, katika Baraza la Wawakilishi leo, tarehe 12 Juni 2025.
MABARAZA, KAMATI ZA HALMASHAURI KUVUNJWA KUFIKIA JUNI 20,2025.
-
Na Mwandishi wetu - Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe
Mohamed Mchengerwa amesema kuwa kwa Mamlaka aliyopewa na ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment