Hii ni baraza ya kupumzikia kama ilivyo kawaida kwa nyumba nyingi visiwani ila imewekwa Oil mchafu kwa sababu mwenye nyumba amechoshwa na visa na kauli mbaya zinazotoka kwa wanaokaa katika baraza hiyo na hiyo kuamua kuweka Oli mchafu ili watu wasikae barazani hapo kama ilivyokutwa na mpiga picha wetu maeneo ya Wilaya ya mjini Unguja ( mtaa umehifadhiwa)
SHIRIKA LA MISSION TANZANIA LALETA NEEMA YA KUWASAIDIA WATOTO WA KIKE
WALIOPATA MIMBA ZA UTOTONI
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Jamii wakimemo walezi na wazazi wametakiwa kuhahakikisha wanaweka misingi
imara na kuwa mstari wa mbele katika kuwalinda watoto w...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment