Hii ni baraza ya kupumzikia kama ilivyo kawaida kwa nyumba nyingi visiwani ila imewekwa Oil mchafu kwa sababu mwenye nyumba amechoshwa na visa na kauli mbaya zinazotoka kwa wanaokaa katika baraza hiyo na hiyo kuamua kuweka Oli mchafu ili watu wasikae barazani hapo kama ilivyokutwa na mpiga picha wetu maeneo ya Wilaya ya mjini Unguja ( mtaa umehifadhiwa)
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment