Habari za Punde

Vituko Uswahilini

Hii ni baraza ya kupumzikia kama ilivyo kawaida kwa nyumba nyingi visiwani ila imewekwa Oil mchafu kwa sababu mwenye nyumba amechoshwa na visa na kauli mbaya zinazotoka kwa wanaokaa katika baraza hiyo na hiyo kuamua kuweka Oli mchafu ili watu wasikae barazani hapo kama ilivyokutwa na mpiga picha wetu maeneo ya Wilaya ya mjini Unguja ( mtaa umehifadhiwa)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.