Habari za Punde

Waumini wa Kanisa la Pentekoste na Wananchi wa Jumbi Washiriki katika Mazishi ya Mchungaji Elias.

Waombolezaji wakiwa katika msiba wa mchungaji kiongozi wa Kanisa la Pentekoste la Jumbi, Elias Funga uliofanyika nyumbani kwake Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.
 Mgombea Uwakilishi Jimbo la Tunguu (CCM), Simai Mohammed Said akitoa heshima ya mwisho mbele ya mwili wa mchungaji kiongozi wa kanisa la Pentekoste la Jumbi , Elias Funga, mazishi hayo yalifanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja
Waombolezaji wakiwa katika mazishi ya mchungaji kiongozi wa Kanisa Pentekoste la Jumbi, Elias Funga yaliofanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.
Askofu Daniel Kwilemba kutoka Kanisa la Pefa liliopo Kisauni Unguja akiweka mchanga kwenye kaburi la mchungaji kiongozi wa Kanisa Pentekoste la Jumbi, Elias Funga, mazishi hayo yalifanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.
Mjane wa marehemu mchungaji kiongozi wa Kanisa la pentekoste la Jumbi, Elias Funga, Lucia Funga akiweka shada la maua katika kaburi la mumewe.
Mgombea Uwakilishi Jimbo la Tunguu (CCM), Simai Mohammed Said akiweka shada la maua katika kaburi la mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Pentekoste la Jumbi, Elias Funga, maziko hayo yalifanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.