Habari za Punde

Kilimo cha Bamia kinavyoshamiri Pemba

 MKULIMA wa mbogamboga kijiji cha Pujini Wilaya ya Chakechake Pemba, Makame Ali Suleiman akizungumza na mwandishi wa habari wa shirka la Magazeti ya serikali Pemba Habiba Zarali Rukuni  katika shamba lake, (Picha na Khatib Mjaja Pemba).
 MKULIMA wa mbogamboga kijiji cha kijili Pujini Wilaya ya Chake chake kisiwani Pemba Makame Ali Suleiman akivuna mabamia katika shamba lake, (Picha na Khatib Juma Mjaja, Pemba).
MKULIMA wa mbogamboga kijiji cha Pujini Wilaya ya Chakechake Pemba, Makame Ali Suleiman akizungumza na mwandishi wa habari wa shirka la Magazeti ya serikali Pemba Habiba Zarali Rukuni na Ali Khatib Chawaya mwandishi wa kujitegemea, katika shamba lake, (Picha na Khatib Mjaja Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.