Habari za Punde

Mwaka 2016 ni Mwaka wa Nema ya Matumba Mbalimbali Zenj Yakiwemu Matikiti Maji.

Mjasiriamali wa Matunda ya aina ya Matikiti Maji akiweka sawa matunda hayo kwa ajili ya wateja wake katika maeneo ya daraja bovu mtoni Unguja Tunda moja huuzwa kwa shilingi 500/= na kuendelea inategemea na ukubwa wake.
Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Mtopepo mtoni wakinunua matunda ya matikitimaji 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.