Mkurugenzi wa DCMA Bi Fatma akitowa maelezo ya Chuo hicho ambacho kwa sasa kimashafikishja miaka 15 tangu kuazishwa na kutowa mafunzo ya Muziki kwa Vijana mbali mbali chuani hapo na kusema hawa ni baadhi ya Vijana wanaomaliza mafunzo yao ya kujifunzi upigaji wa Miziki na kutumia vyombo mbalimbali vya muziki vya asilia na vya kisasa. Wakionesha jinsi ya kufauli mafunzo yao hayo kwa unesho hili katika viwanja vya forodhani.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment