Mkurugenzi wa DCMA Bi Fatma akitowa maelezo ya Chuo hicho ambacho kwa sasa kimashafikishja miaka 15 tangu kuazishwa na kutowa mafunzo ya Muziki kwa Vijana mbali mbali chuani hapo na kusema hawa ni baadhi ya Vijana wanaomaliza mafunzo yao ya kujifunzi upigaji wa Miziki na kutumia vyombo mbalimbali vya muziki vya asilia na vya kisasa. Wakionesha jinsi ya kufauli mafunzo yao hayo kwa unesho hili katika viwanja vya forodhani.
MKUTANO MKUU WA ALAT 2024; WAZIRI MCHENGERWA ATEMBELEA BANDA LA PSSSF
-
ZANZIBAR
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma umeshiriki kwenye Mkutano
Mkuu wa 38 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT) uliofanyika ji...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment