Habari za Punde

Waziri Makamba Azungumza na Balozi wa Korea Ofisini Kwake Dar leo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Korea Song,Geum Young alipomtembelea Muheshimiwa Waziri Ofisini kwake mtaa Luthuli
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba akiongea na Balozi wa Korea Nchini Bwana Song Geun Young alimpomtembelea Waziri huyo Ofisini kwake leo, Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira Richard Muyungi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.