Habari za Punde

Bank Of Africa Yawajengea Uwezo Wafanyabiashara wa Zanzibar Kutengeneza Mpango wa Kujenga na Kuboresha Biashara Zao.

 
Mkufunzi wa Warsha ya ilioandaliwa na Bank of Africa Erick Chrispin akitowa Mada wakati wa Warsha hiyo iliowajumuisha Wafanyabiashara na Wajasiriamali Zanzibar katika Kuboresha na Kujenga Biashara katika kutengeneza Mpango wa Biashara iliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
 Washirikib wa Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini Mada zinazowesilishwa wakati wa Warshi hiyo ilioandaliwa na Bank Of Africa.
 Washiriki wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wakifuatilia Mada zikiwasilishwa 
 Mtoa Mada Ndg Erick Chirispin akisisitiza jambo wakati wa kutoa Mada katika Warsha hiyo. Kuwajengea Uwezo Wafanyabiashara wa Zanzibar katika Kujenga na Kuboresha Biashara katika kutengeneza Mpango wa Biashara.  
 Washiriki wakiwa Ukumbi wa Mkutano wakifuatilia Mada .  

Washiriki wakichangia wakati wa warsha hiyo.
Mshiriki wa Warsha ya kuwajengea Uwezo wa kutengeneza Mpango wa Biashara na Kujenga na Kuboresha Biashara akichangia wakati wa warsha hiyo.
Mtoa Mada Ndg. Erick Chrispin akionesha kitabu chenye mpango wa Biashara wakati wa warsha hiyo kwa Wafanyabiashara wa Zanzibar na Wadau ilioandaliwa na Bank Of Africa katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.






Washiriki wa Warsha ya Kuwajengea Uwezo Wafanyabiashara Zanzibar katika kuandaa Mpango wa Biashara wakiwa nje ya ukumbi wakibadilishana mawazo wakati wa mapunziko ya mchana.
Imeandaliwa na OthmanMapara.Blogspot.com
Zanzinews.com,

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.