Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Mhe. Ussi Salum Pondeza AMJAD ikiwa katika eneo la Muembemakumbi kwa ajili ya Wananchi wa Jimbo lake kufika Ofisini hapo kwa ajili ya Maendeleo ya Jimbo lao na kutoa kero zao ili kuchukuliwa hatua za kuzitatua.
MIRADI YA KIMKAKATI YA TANROADS INAUFUNGUA MKOA WA SONGWE-ENG BISHANGA
-
Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo upanuzi wa
barabara kuu ya ...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment