Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amtembelea Makamu waKwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, kumjulia hali yake baada ya kupa ruhusa akiwa na Waziri Dkt. Mwinyihaji Makame, walipofika katika hoteli ya Serena Dar es Salaam. leo kumtembelea Maalim Seif kwa ajili ya kumjuilia hali. baada ya kuruhusiwa kurejea nyumbani kutoka katika hospitali ya Hindu Mandal Jijini Dar es Salaam, amesema afya yake inazidi kuimarika siku hadi siku. Dkt. Shein alifika hotelini hapo leo majira ya saa mbili usiku. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment