RISASI ZIMEISHA?----------NI mtu na mwanawe wa kumzaa ambao wote kwa sasa ni wasanii kwenye kundi la maigizo la Mkoani wilaya ya Mkoani Pemba, ambapo walikuwa kwenye igizo baada ya mtoto yeye kuigiza kama Polisi na baba mtu yeye kama mgombea aliesababisha mauwaji kwa mgombea mwenzake, igizo hilo lililovuta hisia za wengi lilifanyika Uwanja wa Tennis Chakechake Pemba kwenye sherehe za siku ya sheria , (Picha na Haji Nassor)
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment