RISASI ZIMEISHA?----------NI mtu na mwanawe wa kumzaa ambao wote kwa sasa ni wasanii kwenye kundi la maigizo la Mkoani wilaya ya Mkoani Pemba, ambapo walikuwa kwenye igizo baada ya mtoto yeye kuigiza kama Polisi na baba mtu yeye kama mgombea aliesababisha mauwaji kwa mgombea mwenzake, igizo hilo lililovuta hisia za wengi lilifanyika Uwanja wa Tennis Chakechake Pemba kwenye sherehe za siku ya sheria , (Picha na Haji Nassor)
KAPINGA: TAASISI ZIFANYE TAFITI BUNIFU ILI KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), amezisisitiza
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya tafiti zenye tija ili kuongeza
ajira kwa ...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment