WIZARA ya Afya Pemba, imeanza kazi ya ukarabati wa
Tanuri maalumu la kuchomea takataka zinazotoka katika Hospitali ya Chake Chake,
kilio ambacho Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, kilimsikitisha
sana kutokuwepo kwa tanuri hilo wakati alipotembelea kisiwani Pemba Mwanzoni
mwa mwezi huu.
(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
No comments:
Post a Comment