Habari za Punde

Wizara ya afya yalifanyia ukarabati tanuri la kuchomea takataka za Hospitali Chakechake


WIZARA ya Afya Pemba, imeanza kazi ya ukarabati wa Tanuri maalumu la kuchomea takataka zinazotoka katika Hospitali ya Chake Chake, kilio ambacho Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, kilimsikitisha sana kutokuwepo kwa tanuri hilo wakati alipotembelea kisiwani Pemba Mwanzoni mwa mwezi huu.

(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.