JENGO la Mahkama kuu ya Pemba, likiwa katika
monekano mpya baada ya kumaliza kufanyiwa ukarabati wa hali ya juu, jengo hilo
linasubiri fanicha mpya, ili liweze kuhamiwa na kurudi kufanya kazi zake za
kama zamani.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
JUKWAA LA NNE LA UTEKELEZAJI WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA
YA MADINI LILETE MABADILIKO -OLLAL
-
MWANZA
Wadau wa madini nchini wametakiwa kutumia Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa
Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta la Madini kama kichocheo c...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment