Habari za Punde

Muonekano wa Jengo la Mahkama Kuu Pemba



JENGO la Mahkama kuu ya Pemba, likiwa katika monekano mpya baada ya kumaliza kufanyiwa ukarabati wa hali ya juu, jengo hilo linasubiri fanicha mpya, ili liweze kuhamiwa na kurudi kufanya kazi zake za kama zamani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.