JENGO la Mahkama kuu ya Pemba, likiwa katika
monekano mpya baada ya kumaliza kufanyiwa ukarabati wa hali ya juu, jengo hilo
linasubiri fanicha mpya, ili liweze kuhamiwa na kurudi kufanya kazi zake za
kama zamani.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
ALLY HAPI AZINDUA KAMPENI ZA KISHINDO JIMBO LA SEGEREA
-
NA MWANDISHI WETU
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Ally Salumu Hapi, amezindua
kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Segerea,jijin...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment