Manispa ya Zanzibar kupitia Idara yake ya Michirizi kwa kukemea tabia ya Wananchi kutumia kunyesha kwa mvua na kutupa taka taka katika misingi ya maji huleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo kwa kujaa kwa maji kutokana na kuziba misingi hiyo kama inavyoonekana katika picha hii ni sehemu ya mtoni msingi huu ukiwa umezidiwa na mataka na kutuwa sehemu hiyo.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment