Manispa ya Zanzibar kupitia Idara yake ya Michirizi kwa kukemea tabia ya Wananchi kutumia kunyesha kwa mvua na kutupa taka taka katika misingi ya maji huleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo kwa kujaa kwa maji kutokana na kuziba misingi hiyo kama inavyoonekana katika picha hii ni sehemu ya mtoni msingi huu ukiwa umezidiwa na mataka na kutuwa sehemu hiyo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Akabidhi Sadaka ya
Futari Dahalia ya Lumumba
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akikabidhi
sadaka ya futari kwa wanafunzi wa Dahalia wa Skuli ya Sekondari Lumumba
Zanzi...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment