Manispa ya Zanzibar kupitia Idara yake ya Michirizi kwa kukemea tabia ya Wananchi kutumia kunyesha kwa mvua na kutupa taka taka katika misingi ya maji huleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo kwa kujaa kwa maji kutokana na kuziba misingi hiyo kama inavyoonekana katika picha hii ni sehemu ya mtoni msingi huu ukiwa umezidiwa na mataka na kutuwa sehemu hiyo.
Chama cha ADC Chatowa Mafunzo kwa Mawakala Wao wa Usimamizi Uchaguzi Mkuu
2025
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe. Hamad Rashid
akizungumza na Mawakala wa Chama hicho wakati wa ufunguzi wa mafunzo
yaliyofan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment