Baraza la Manispa likiimarisha miundombinu ya maegesho ya magari katika Manispa ya Zanzibar kupunguza msongamano na uegeshaji wa magari ovyo katika baadhi ya barabara za Manispa ya Zanzibar, kama walivyokutwa wafanyakazi hao wakichora alama za maegesho ya magari katika jengo la Bima Unguja.
UDOM YAKUTANA NA WADAU KUCHAMBUA NAFASI YA AKILI UNDE KATIKA UTAWALA BORA
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma*
*Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na
wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodom...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment