Baraza la Manispa likiimarisha miundombinu ya maegesho ya magari katika Manispa ya Zanzibar kupunguza msongamano na uegeshaji wa magari ovyo katika baadhi ya barabara za Manispa ya Zanzibar, kama walivyokutwa wafanyakazi hao wakichora alama za maegesho ya magari katika jengo la Bima Unguja.
Rais Samia Suluhu Hassan atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris
Causa) ya Uchumi na Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) ya Uchumi kutoka
kwa Mkuu wa ...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment