NAIBU katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Abdullghafar Idrissa akiwakabidhi
kadi za CCM vijana wapya 211 waliojiunga na chama hicho kutoka Mkoa wa kusini
Pemba, wakati wa ziara yake ya siku moja katika mkoa huo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
NAIBU katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Abdullghafar Idrissa akiwakabidhi
kadi za CCM vijana wapya 211 waliojiunga na chama hicho kutoka Mkoa wa kusini
Pemba, wakati wa ziara yake ya siku moja katika mkoa huo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
BAADHI ya Vijana waliokabidhiwa kadi za CCM na Naibu
Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Abdullghafar Idrissa, wakila kiapo cha utii mara
baada ya kukabidhiwa kadi hizo huko katika Tawi la CCM Vitongoji Wilaya ya
Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Abdullghafar
Idrissa, akizungumza na vijana wa Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa kusini Pemba,
wakati wa ziara yake ya siku moja katika mkoa huo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment